У нас вы можете посмотреть бесплатно Jakaya Mrisho Kikwete Foundation - Kijana Leo Episode 009 или скачать в максимальном доступном качестве, которое было загружено на ютуб. Для скачивания выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса savevideohd.ru
Ufanisi wa soko la ngozi nchini Tanzania unakwamishwa na mifumo ya ukusanyaji wa ngozi za wanyama, ambayo husababisha kupungua kwa ubora, na thamani yake kupotea kutokana na mazoea mabaya ya ufugaji wa mifugo, ikiwa ni pamoja na alama za kudumu na teknolojia duni. Mbunifu mdogo Joyce Dekason amegundua changamoto hii na anaitatua kupitia kuanzisha kampuni ya "Zeus Pure Leather," Kampuni ya Zeus Pure Leather Products" ni kampuni inayojihusisha na utengenezaji wa bidhaa za ngozi za wanyama zenye ubora wa hali ya juu, hususani ngozi ya mbuzi na ng'ombe. Kwa kutumia ngozi zilizotupwa hapo awali, Joyce, kupitia Zeus, ametoa fursa za ajira kwa watu 10 na pia amekidhi mahitaji ya viatu katika mikoa ya Geita, Kagera, na Mwanza. Kampuni ya Joyce imefanya viatu kuwa nafuu zaidi kwa wakazi wa eneo hilo, hivyo kuchangia upatikanaji wa viatu bora kwa wenyeji wa eneo hilo.