У нас вы можете посмотреть бесплатно Maneno ya Mbunge wa Arumeru Magharibi baada ya madiwani wake kushikiliwa na polisi или скачать в максимальном доступном качестве, которое было загружено на ютуб. Для скачивания выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса savevideohd.ru
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Alexander Mnyeti ametoa amri ya kukamatwa kwa mwenyekiti wa halmashauri wilaya ya Arusha, Noah Lembris na madiwani wengine watano kwa kosa la kuzuia maelekezo yake kutekelezwa ikiwemo suala la posho waliyoddaiwa kujiongezea. Mbunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi Gypson Meseyeki amesema hawakufanya kampeni za kupingana na DC bali walikuwa katika ziara ya kukagua miradi ya maendeleo