У нас вы можете посмотреть бесплатно MDAHALO MKUBWA WA WAISLAMU NA WAKRISTO, Namba 1 или скачать в максимальном доступном качестве, которое было загружено на ютуб. Для скачивания выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса savevideohd.ru
Mdahalo mkubwa wa amani kati ya wahadhiri wa kiislamu na wakristo, Mdahalo huu uliyofanyika katika kanisa la wasabato Ukonga siku ya tarehe 13/06/2021, Muda kuanzia saa 4:00 asubuhi mpaka saa 11:00 jioni. Majadiliano yaliyo kidhana na hoja kuu mbili ambazo ziliandaliwa kwa makubaliano ya pande zote mbili. MADA: 1.Mitume na Manabii walikuwa dini gani ? 2.Yesu au Nambii Issa alisurubiwa, kufa na kufufuka ? Wahadhiri wa Kiislamu walikuwepo ni hao walio orodheshwa hapo chini: H. MAZINGE, S. KIMYOGOLI, P. SHAFI, R. PILINGU, R. SALIM, S. MAULANAS. BWETA, I. BAKONZI, A. MWAIPOPO, M. LWAMBO, HAMIDU, A. RAJABU, S. MBOGO, Y. DIWANI, A. SHATRI.