Русские видео

Сейчас в тренде

Иностранные видео


Скачать с ютуб VUTA NI KUVUTE SAKATA LA MAJI MBEZI MSUMI, WANANCHI WAGOMEA MRADI WA BILION 18 WAZIRI ATOA AGIZO в хорошем качестве

VUTA NI KUVUTE SAKATA LA MAJI MBEZI MSUMI, WANANCHI WAGOMEA MRADI WA BILION 18 WAZIRI ATOA AGIZO 2 месяца назад


Если кнопки скачивания не загрузились НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу страницы.
Спасибо за использование сервиса savevideohd.ru



VUTA NI KUVUTE SAKATA LA MAJI MBEZI MSUMI, WANANCHI WAGOMEA MRADI WA BILION 18 WAZIRI ATOA AGIZO

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Wakati Serikali ikitangaza kujenga mradi wa maji wa Sh18 bilioni, wakazi wa Mtaa wa Msumi, Kata ya Mbezi, jijini Dar es Salaam wamegoma kuchimbiwa visima vya muda mfupi wakati wakisubiri mradi huo unaohusisha kutandaza mabomba na kujenga tenki la lita milioni sita. Msingi wa kugomea kuchimbiwa visima na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) ni kuchoshwa na ahadi za muda mrefu zinazotolewa. Hayo yametokea leo Alhamisi, Juni 20, 2024 baada ya Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Kundo Mathew kufika katika mtaani humo na kupokewa na mabango ya kulalamikia ukosefu wa majisafi. Hatua hiyo ya Kundo kufika eneo hilo kujionea hali halisi, inakuja ikiwa ni siku tatu zimepita tangu Gazeti la Mwananchi lilipotoa habari maalumu ya adha ya maji kwa baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam ikiwaemo Mtaa wa Msumi ambao baadhi wanalazimika kutumia saruji ili kuyasafisha. "Nimeyaona mabango, mmesema mmechoka kudanganywa masuala ya maji," amesema Kundo wakati akisoma moja ya bango. Kundo amesema ametumwa na Rais Samia Suluhu Hassan, kwamba Serikali imelenga kumtua ndoo mwanamke kichwani ili wasitembee umbali mrefu kutafuta maji. "Wakati tunakuja tumesimamishwa Mshikamano wananchi wakasema wanataka maji, tukasimamishwa tena wakasema wanataka maji, nimekuja hapa nimepokewa na mabango, yakisema tumechoka kudanganywa," amesema

Comments