У нас вы можете посмотреть бесплатно NAKUTUKUZA, EE BWANA| ZABURI 30 | ZABURI YA KUITIKIZANA | DOM. 13 MWAKA B| BY PATRICK WAMBUA или скачать в максимальном доступном качестве, которое было загружено на ютуб. Для скачивания выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса savevideohd.ru
NAKUTUKUZA, EE BWANA, KWA KUWA UMENIOKOA ************************************************* Nakutukuza, ee Bwana, kwa kuwa umeniokoa, wala hukuwafurahisha adui zangu juu yangu. Ee Bwana, umeiondoa nafsi yangu kuzimuni; umeniokoa katika wale wanaoshuka shimoni ************************************************* Mwimbieni Bwana, enyi waaminifu wake; shukuruni jina lake takatifu. Kwani hasira yake ni ya kitambo kidogo; wema wake wadumu maisha yote. Kilio chaweza kikawapo usiku, lakini asubuhi ikawapo furaha. ************************************************** Usikie, ee Bwana, unihurumie; ee Bwana, uwe msaada wangu. Umegeuza kilio changu kuwa kucheza; ee Bwana, Mungu wangu, nitakushukuru milele.