У нас вы можете посмотреть бесплатно Warioba Afunguka Siri za Ndani Wakati wa Nyerere, Namna Walivyobishana na Sokoine Akataka Kujiuzulu или скачать в максимальном доступном качестве, которое было загружено на ютуб. Для скачивания выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса savevideohd.ru
Warioba akumbushia namna alivyoamua kujiuzulu kutokana na sheria ya uhujumu uchumi. Katika mjadala wa uzinduzi wa Kitabu cha Hayati Moringe Sokoine, Leo Septemba 30,2024, Mzee Joseph Warioba amekumbushia namna alivyobishana na Sokoine kuhusu sheria ya uhujumu uchumi mpaka yeye kufikia kuamua kujiuzulu. Warioba wakati huo alikua Mwanasheria Mkuu wa serikali anaeleza kuwa aliona sheria hiyo inaenda kuwa na changamoto kubwa a utekelezaji hasa juu ya haki za watu. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: / thechanzo INSTAGRAM: / thechanzo FACEBOOK: / thechanzo TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.