У нас вы можете посмотреть бесплатно “Watu hawaamini kama nimetengeneza gari kwa mikono yangu" или скачать в максимальном доступном качестве, которое было загружено на ютуб. Для скачивания выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса savevideohd.ru
Masoud Kipanya ni mchora katuni maarufu nchini Tanzania ambaye amezindua gari lake alilolitengeneza mwenyewe. Licha ya watu kutomuamini kama yeye ndiye aliyelitengeneza anasema ametumia gharama kubwa kulitengeneza lakini anatamani kuliuza kwa gharama ndogo ili liweze kuwa msaada kwa vijana wabeba mizigo na wasambazaji wa bidhaa. Gari hili lina uwezo wa kubeba Kilo 500, @frankmavura ametuandalia habari hii. #bbcswahili #teknolojia #tanzania